Tuesday 6 August 2024

NALA MZALENDO AACHIA ALBUM yake YA TANO

Mwanamuziki wa utamaduni wa HIP HOP kutoka jijini Mbeya SUDI ALLY MWAKILACHILE maarufu kwa jina NALA MZALENDO ameachia album yake ya tano yenye jumla ya nyimbo kumi na Moja (11) hivi karibuni akiipa jina la SON. NALA ni mmoja wa wateule 20 kutoka kwenye BIG 20 ARTISTS walioteuliwa na media personalities pamoja na wadau wengine wa Muziki kama sample kwa ajili ya kuleta mabadiliko ya sanaa ya Muziki Mbeya akitokea MAKANTA AFRICA 
NALA mpaka Sasa anamiliki album 5,Ep 3 na Mixtape 1 zenye nyimbo zaidi ya 116 zilizopo kwenye Album,Ep's na Mixtape bila kuhesabu singles,collables na cyphers 
NALA ni mshindi wa tuzo ya msanii chipukizi Mbeya 2019
ALBUM NALA inapatikana kwenye digital platform zote pia unaweza kuipata Kwa kuinunua kwa 20,000/- Unatumiwa Kwa Email/Telegram/WhatsApp 
TIGO PESA 0719568535
(SUDI ALLY MWAKILACHILE)
Full story ya Maisha yake na Muziki itakujia soon kupitia jukwaa hii.

Imeandikwa na Kizz1

0 comments:

Post a Comment