Tuesday 6 August 2024

MBEYA YAJA NA BIG 20

Hii ni project/movement iliyoanzishwa na media personalities pamoja na wadau wa Muziki jijini Mbeya lengo kuu ikiwa ni kuhakikisha kuwa Muziki na wanamuziki wa mkoa wa Mbeya wanapata jukwaa huru na la uhakika katika kufanya kazi zao. 
Wakiongea na jukwaa hili waratibu wa movement hii wanasema kuwa wameanza na wasanii hao 20 kama sample tu Kwa kuanzia lakini lengo lao ni kumfikia kila msanii wa Mbeya na ndio maana hata hao waliopendekezwa ni mapendekezo kutoka kwa wadau mbalimbali waliopendekeza majina ya wasanii hao kwa kipindi cha wiki moja.
Wasanii walionza nao kwenye awamu hii ya kwanza ni:-
1 J - fish hunter
2 D - Garle
3 Miss geezy
4 Big Benk
5 Em one
6 Silvia Green
7 Young 40
8 Kali more
9 Smile kiss.                        
10 Zax B mtoto wa Boss
11 Samba melodie
12 Johym
13 Green boy wizard 
14 Nala mzalendo
15 Triple M dracula 
16 Selementaly 
17 Balone dope
18 Chimo
19 Dora boy (I-q de music)
20 Kwazee
Burudani Mbeya tunawatakia mafanikio mema katika movement hii 

Imeandikwa na Kizz1

0 comments:

Post a Comment