1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa
4. Daima jitolee kufuata na kubeba vinywaji toka kaunta
5. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza kucheza kwa bidii kabisa
Showing posts with label Vijana. Show all posts
Showing posts with label Vijana. Show all posts
Saturday, 30 November 2013
NJIA BORA YA KUTATUA MIGOGORO YA KIMAPENZI
Migogoro ya kipamenzi inawagusa wengi, na watu wengi wanapenda kuondoa tofauti walizonazo na wenzi wao, lakini wanakosa utaalamu ‘tekniki’ za kutafuta suluhu.
Watu wawili ambao hufanya uhusiano wao uwe wenye afya, pia ni katika idadi hiyo hiyo ambayo husababisha penzi lao lisifike popote. Sababu ni ipi na utofauti huu unasababishwa na nini?
Penzi ni fumbo zito, ndiyo maana huwaunganisha hata wale wenye njozi zinazosigana.
Inawezekana kicheche akadumu kwenye penzi lake mpaka watu wakashangaa, wakati mtu anayesadikiwa ni mtulivu akawa anahama uhusiano mmoja kwenda mwingine kila siku.
Kimsingi, ipo njia moja tu ya kutatua migogoro na ukiweza kupita, hautosumbuliwa na jinamizi la kuacha au kuachwa kila siku. Hakuna mtihani usio na jibu, wanaodumu wana nini na wewe unayehamisha penzi kila siku una matatizo gani?
Haukuumbwa na matatizo, ila aina ya migogoro kati ya mtu na mtu, inatokana na kiwango cha hasira, busara na ustahimilivu walionao wahusika.
Migogoro haiwezi kukua na kusababisha watu wawili watengane kama wahusika watajiuliza swali moja tu. Ni nani amekosea?
Ni rahisi mtu kujua makosa yake, kama tu atajiuliza kosa ni la nani kati yake na mwenzake. Pia, kusudio lake ni kuonesha kwamba mkosaji akijiuliza nani amekosea? Jawabu la haraka litamwambia “Ni mimi!”
Aidha, mtu anapobaini kuwa ni yeye amekosea na akawa muungwana, basi ataomba msamaha mapema ili kuepusha mgogoro usifike mbali. Hata hivyo, tatizo kubwa hapa ni kwamba kuna watu ambao ni wagumu kuomba msamaha wakidhani wataonekana wa bei ‘chee’.
Kimsingi, swali la kujiuliza ni hili, kosa ni la nani? Kama mnapendana hamtaruhusu mgogoro wenu uwachinjie baharini, badala yake mtaelekeza nguvu zenu katika suluhu! Mnajadili kilichotokea, kisha mnarekebishana.
Ni sumu kubwa kujiuliza “kwanini kimetokea hiki?” Swali la namna hiyo, mwisho wake siyo mzuri kwasababu litakapojitokeza tena, utasema: “Si unaona amerudia tena?”
Kitu cha msingi wakati unasuluhisha mgogoro ni kutoa dhana ya kushinda au kushindwa. Watu wengi huwa hawapendi kukubali makosa yao, wakiamini kuwa kufanya hivyo ni sawa na kukubali kushindwa.
Suluhu ni maafikiano ya pande mbili ambayo huwanufaisha wawili wapendanao, kwahiyo huwa hakuna mshindi wala mshindwa. Kutatua migogoro kunamaanisha
Saturday, 6 July 2013
NDOTO YA VIJANA WENGI JUU YA NDOA
Ndoto ya Vijana wengi ni siku moja kuja kuoa/kuolewa. Mungu ametuahidi baraka zake nyingi ikiwamo baraka ya ndoa hivyo haupaswi kukaa na kusubiri hadi upate mchumba ndio uanze maandalizi yakupasa kuanza kujiandaa kuwa mume/mke. Mungu amekuandalia mwenzi mwema hivyo unapaswa kujiandaa mapema ili ndoa yako iwe bora.
1. Omba kwa ajili ya mwenzi wako vijana wengi wanaomba ili waweze kuoa/kuolewa, hiyo ni sawa kabisa lakini jambo la kwanza kabisa inabidi uombe kwa ajili ya mwenzi wako ambaye Mungu anaenda kukupatia. Anza mapema kuomba kwa ajili ya mwenzi ambaye Mungu anaenda kukupatia. Omba kwa ajili ya maisha yake ya kiroho, uwezo wake kusimamia na kuitunza familia na maisha yake kwa ujumla. Usisubiri hadi uoe/uolewe ndipo uanze kuombea umoja katika ndoa yenu, anza sasa na pia kumbuka kuomba kwa ajili yako ili uwe mume/mke mwema.
2. Jiandae Familia yako unayoishi nayo ndio hasa sehemu yako ya kujiandaa kuishi na mume/mke wako. Unapaswa kujifunza kuanzia sasa kuishi vizuri na watu wa familia yako, hutaweza kuishi vizuri na mke/mume wako kama sasa unashindwa kuishi vizuri na
1. Omba kwa ajili ya mwenzi wako vijana wengi wanaomba ili waweze kuoa/kuolewa, hiyo ni sawa kabisa lakini jambo la kwanza kabisa inabidi uombe kwa ajili ya mwenzi wako ambaye Mungu anaenda kukupatia. Anza mapema kuomba kwa ajili ya mwenzi ambaye Mungu anaenda kukupatia. Omba kwa ajili ya maisha yake ya kiroho, uwezo wake kusimamia na kuitunza familia na maisha yake kwa ujumla. Usisubiri hadi uoe/uolewe ndipo uanze kuombea umoja katika ndoa yenu, anza sasa na pia kumbuka kuomba kwa ajili yako ili uwe mume/mke mwema.
2. Jiandae Familia yako unayoishi nayo ndio hasa sehemu yako ya kujiandaa kuishi na mume/mke wako. Unapaswa kujifunza kuanzia sasa kuishi vizuri na watu wa familia yako, hutaweza kuishi vizuri na mke/mume wako kama sasa unashindwa kuishi vizuri na
Friday, 31 May 2013
ATHARI 9 ZA VIJANA KUFANYA TENDO LA NDOA KABLA YA NDOA
1. Kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa huondoa utukufu wa Mungu katika ndoa yao
2. Hupunguza heshima katika uchumba na hata katika ndoa baada ya kuoana (maombolezo 1:8)
=mnapofanya tendo la ndoa kabla ya ndoa hupunguza heshima(mchumba
wako hawezi kukuheshimu tena, pia huondoa heshima ktk jamii
3. Mkifanya tendo la ndoa kabla ya ndoa mtakuwa mmejenga msingi mbovu wa ndoa yenu...(baada ya kuoana ndoa yenu itaandamwa na migogoro ya ndoa inayohusiana na mapenzi.
MITHALI 6:27-28 anasema "JE MTU AWEZA KUUA MOTO KIFUANI PAKE NA NGUO ZAKE ZISITEKETEE? JE MTU AWEZA KUKANYAGA MAKAA YA MOTO NA NYAYO ZAKE ZISIUNGUE? Bila shaka ataungua
4. Kufanya tendo kabla ya ndoa hupunguza ujasiri wa kuwafundisha na kuwakemea wadogo zetu wanapokose(roho itakuwa inakusuta unapomuonya mdogo wako)
5. Kufanya tendo kabla ya ndoa hata kama Mungu atakusamehe lakini bado utabaki na kovu la kudumu
6. Kufanya tendo kabla ya ndoa hubadilisha mwili.(kama ni msichana ubikra utaondoka na hautarudi kamwe maisha yako yote .....HATA UKITUBU VIPI, MUNGU HAWEZI KUKURUDISHIA UBIKIRA
2. Hupunguza heshima katika uchumba na hata katika ndoa baada ya kuoana (maombolezo 1:8)
=mnapofanya tendo la ndoa kabla ya ndoa hupunguza heshima(mchumba
3. Mkifanya tendo la ndoa kabla ya ndoa mtakuwa mmejenga msingi mbovu wa ndoa yenu...(baada ya kuoana ndoa yenu itaandamwa na migogoro ya ndoa inayohusiana na mapenzi.
MITHALI 6:27-28 anasema "JE MTU AWEZA KUUA MOTO KIFUANI PAKE NA NGUO ZAKE ZISITEKETEE? JE MTU AWEZA KUKANYAGA MAKAA YA MOTO NA NYAYO ZAKE ZISIUNGUE? Bila shaka ataungua
4. Kufanya tendo kabla ya ndoa hupunguza ujasiri wa kuwafundisha na kuwakemea wadogo zetu wanapokose(roho
5. Kufanya tendo kabla ya ndoa hata kama Mungu atakusamehe lakini bado utabaki na kovu la kudumu
6. Kufanya tendo kabla ya ndoa hubadilisha mwili.(kama ni msichana ubikra utaondoka na hautarudi kamwe maisha yako yote .....HATA UKITUBU VIPI, MUNGU HAWEZI KUKURUDISHIA UBIKIRA
Tuesday, 28 May 2013
MASTAA WATANO (5) WANAOCHUKIWA SANA KIPINDI HIKI
1)MWANA-FA
Sababu za kuchukiwa:-
a)MSALITI/KIBARAKA
Baada ya vuguvugu la kutaka wasanii kujikomboa kutoka katika mfumo wa kinyonyaji waliamua kwa pamoja (na yeye akiwemo) kuunda chombo cha kuwatetea kilichoitwa TUMA lakini mwisho wa siku aliwageuka na kwa kushirikiana na wale ambao wasanii wanawataja kuwa ni miongoni mwa mfumo wa kinyonyaji wakatengeneza chombo kingine
Sababu za kuchukiwa:-
a)MSALITI/KIBARAKA
Baada ya vuguvugu la kutaka wasanii kujikomboa kutoka katika mfumo wa kinyonyaji waliamua kwa pamoja (na yeye akiwemo) kuunda chombo cha kuwatetea kilichoitwa TUMA lakini mwisho wa siku aliwageuka na kwa kushirikiana na wale ambao wasanii wanawataja kuwa ni miongoni mwa mfumo wa kinyonyaji wakatengeneza chombo kingine
Saturday, 11 May 2013
Amri kumi kwa wapenda ofa
Tuesday, 16 April 2013
HERI UPWEKE KULIKO MPENZI ASIYEJUA MAANA: (SEHEMU YA TATU)
Katika Somo Lililopita Kama Nilivyogusia Nilieleza Kuwa Ni Kosa Kubwa Kumuona Mwenzi Wako Ana Thamani Ndogo Na Wakati Huo Huo Ukawa Unatoa Kipaumbele Kwa Watu Wa Pembeni.
Tafsiri Inayotawala Katika Uhusiano Ni Kuwa Kundi Linalosumbua Mno Na Kuonekana Ni Sugu Kwa Tabia Ya Namna Hii Ni Lile Ambalo Linawahusisha Memba Wanaoingia Kwenye Uhusiano Wa Kimapenzi Pasipo Imani Kamili.
Wanajaribu Na Hawana Ufahamu Kwamba Moyo Haufanyiwi Majaribio.
Hii Ndiyo Sababu Ya Kusisitiza Kuwa Ikiwa Hujaamua Kupenda Basi Kaa Mbali.
Kuna Mengi Unayoweza Kumsababishia Mwenzako, Ukampotezea Muda Huku Ukimjengea Imani Upo Naye Lakini Mwisho Anakuja Kujikuta Anauguza Dondo La Moyo.
Sikitiko La Mahaba Linashinda Msiba!
Hujaumia Subiri Usimuliwe!
Moyo Unapouma Kwa Sababu Ya Mapenzi Hakuna Kitu Cha Kupoza. Unaweza Kunywa Pombe Na Usilewe, Ukabugia Dawa Za Usingizi Na Usilale.
Kifua Kinajaa Na Kwa Sababu Inaathiri Mfumo Wa Upumuaji Na Mapafu Nayo Huingia Katika Maumivu.
Sikitiko La Mahaba Ni Hatari, Likikufika Utapungua Uzito Kwa Kasi Bila Maelezo Ya Ziada.
Chakula Hakiwezi Kupita Na Macho Yanaweza Kujaa Machozi Ilhali Unatamani Kujizuia. Binadamu Tumetofautiana, Wapo Wanaotamani Kupendwa Lakini Wengine Wanawacheza Shere Wanaowapenda.
Dawa Kuu Ni Kujihadhari Na Watu Wasio Na Mapenzi Ya Dhati.
Kuwaepuka Kadiri Inavyowezekana.
Ni Mzuri Na Anakuvutia Lakini Heri Umuone Kwa Mbali Kwa Sababu Ukimjaza Moyoni Atakusumbua.
Atakutoa Machozi Katika Eneo Ambalo Ulihitaji Kufurahi.
Maumivu Yako Hata Yajali Kwa Sababu Hana Hisia Na Wewe.
Atakusaliti Bila Woga Kwa Maana Hana Hofu Yoyote Juu Yako.
Itakuwa Ngumu Kumuacha, Vilevile Utaona Uamuzi Wowote Wa Kutengana Naye Ni Mateso Makubwa Kwamba Heri Uumie Ukiwa Naye Kuliko Kuachana.
Usijidanganye Ndugu Yangu, Wewe Ni Binadamu Uliyekamilika, Kwa Hiyo Usitarajie Mtu Wa Pili Au Wa Tatu Anaweza Kusikia Kile Kinachokuuma Moyoni.
Mateso Yaliyopo Ndani Yako Unayajua Mwenyewe, Kwa Hiyo Unatakiwa Kuwa Wa Kwanza Kujihurumia Na Kuchukua Uamuzi Wa Kujiokoa Na Mateso.
Kuna Kitu Kimoja Ambacho Unatakiwa Kukifahamu; Binadamu Ni Wa Ajabu Sana, Watayajua Yako Ya Siri Na Kile Ambacho Mwenzi Wako Anakifanya Pembeni, Lakini Hawakwambii Badala Yake Wataketi Pembeni Kuzungumza. “Aah Yule Wa Ajabu, Anadhani Kapata Mpenzi Kumbe Kapatikana!”
Wengine Utakaa Nao Meza Moja Kushauriana Mambo Mbalimbali, Lakini Anayekwambia Umvumilie Mwenzi Wako Licha Ya Vitimbi Anavyokufanyia, Ndiyo Huyo Huyo Akikaa Pembeni Na Watu Anawaambia Kwa Mtindo Wa Kukucheka Kwamba Unamng’ang’ania Mpenzi Bomu.
Lingine Ni Kuwa Unapokuwa Na Mpenzi Ambaye Hakuheshimu, Thamani Yako Katika Jamii Inashuka.
Kukuheshimu Si Mpaka Akutukane, Bali Vitendo Vyake. Kutoka Na Wapenzi Wengine, Kujenga Mazoea Na Watu Wa Jinsia Nyingine Kiasi Kwamba Mpaka Anahusishwa Kwamba Ni Wapenzi Wake.
Mathalan, Mpenzi Wako Anakuwa Na Urafiki Na Watu Mpaka Anafikiriwa Anatembea Nao.
Hii Ni Tabia Mbaya Na Haikubaliki, Ingawa Wapo Wazuri Wa Kutetea. Watasema, Sisi Ni Washkaji Ila Fahamu Mapenzi Yenu Yanazikutanisha Familia Mbili. Una Ndugu, Marafiki, Wazazi.
Inakuaje Mpenzi Wako Anahisiwa Anatoka Na Mwanamke Mwingine Na Taarifa Zinafika Mpaka Kwa Wazazi Wako? Watajua Mkwe Wao Ni Kicheche Na Hilo Litakugharimu Kwa Kiasi
Friday, 12 April 2013
HERI UPWEKE KULIKO MPENZI ASIYEJUA MAANA: (SEHEMU YA PILI)
KILA Mtu Angeyaheshimu Mapenzi, Angejua Jinsi Ya Kulinda Hisia Za Mwenzi Wake. Angeelewa Maana Ya Kupenda, Asigekuwa Na Shaka Pale Anapopendwa. Angeishi Ndani Ya Mwenzake, Hivyo Kuumizana Kusingekuwepo, Migogoro Mikubwa Na Kuachana Isingetokea.
Migogoro Mingi Inatokea Kwa Sababu Wengi Wameyageuza Mapenzi Kama Mchezo (Game), Hawajui Kuwa Saikolojia Inaonya Vitendo Vya Kuucheza Shere Moyo Wa Mtu. Kumfanyia Hivyo Mtu Mwenye Hisia Za Ndani Na Za Kweli Katika Kupenda Unaweza Kuua Bila Kukusudia.
Katika Sehemu Ya Kwanza Ya Makala Haya Nilieleza Kuwa Kama Hujawa Tayari Kupenda, Kunyenyekea Na Kuheshimu Ni Vizuri Ukakaa Pembeni Kwa Sababu Unaruhusiwa Kucheza Game Na Mtu Lakini Ni Kosa Kubwa Kucheza Game Na Moyo Wa Mtu.
Hata Hivyo, Nilitaka Kila Mtu Awe Makini Anapokuwa Anaingia Kwenye Uhusiano Wa Kimapenzi Na Mtu. Anapaswa Kujihakikishia Upendo Kutoka Moyoni Badala Ya Kujaribu. Wengi Walioingia Kwa Mtindo Wa Kupima Kina Cha Maji, Walilia Kwa Kusaga Meno.
Lipo Tabaka Ambalo Linakuwa Limejitosheleza Kuwa Mapenzi Hamna Lakini Wanang’ang’ania, Matokeo Yake Wanauguza Jeraha La Moyo Kwa Muda Mrefu. Wengine Wakajipa Ugonjwa Wa Moyo. Ni Vizuri Kuwa Makini Mno Ikiwa Unahitaji Kupata Thamani Halisi Ya Penzi.
Pigania Kuhifadhi Moyo Wako. Uweke Katika Himaya Salama. Usijidanganye Kwa Penzi Lisilo Na Uelekeo. Lenye Sura Ya Upande Mmoja. Wewe Unapenda, Yeye Anakuchora, Presha Inakupanda Na Kushuka Mwenzako Hana Habari Hata Kidogo, Tena Ikiwezekana Atakucheka Kama Katuni.
Kuna Watu Hawaoni Hili Umuhimu, Mpenzi Maana Yake Ni Msiri Wa Maisha Yako. Unapokuwa Umelala Fofofo Hujitambui, Ubavuni Kwako Yupo Yeye. Anaweza Kukufanya Lolote Wakati Wewe Unaogelea Ndotoni. Mpende Akupendaye, Vinginevyo Utakumbana Na Maumivu Yafuatayo;
Thursday, 11 April 2013
HERI UPWEKE KULIKO MPENZI ASIYEJUA MAANA: (SEHEMU YA KWANZA)
MAPENZI Yana Siri Kubwa. Kila Mmoja Ana Ugonjwa Wake Wa Kupenda. Wengine Wanawapenda Wapenzi Warefu, Lakini Kuna Kundi Ambalo Huchanganyikiwa Zaidi Kwa Wafupi. Pamoja Na Mchanganuo Huo, Kuachwa Inauma Hata Kama Anayekutosa Hukuwa Na Mapenzi Naye.
Ile Dhana Tu Ya Kuachwa Ndiyo Hutesa Watu. Kuna Dhana Kwamba Anayeacha Mara
Nyingi Hujiona ...Mshindi Dhidi Ya Aliyemuacha. Na Hiyo Ndiyo Sababu Ya Wengi
Kuumia Wanapofungiwa Milango Ya Kukatisha Uhusiano Ambao Pengine Hata Hawakuwa
Na Masilahi Nao.
Mathalan, Mwanamke Anaweza Kuwa Havutiwi Na Mtu Aliyenaye Kwa Maana Moja Au Nyingine. Ilitokea Kuwa Naye Kama Ajali Tu! Kutokana Na Kutokuwa Na Hisia Naye, Hakuona Tatizo Kumsaliti Kwa Mwanaume Mwingine, Lakini Huwezi Kuamini Siku Akiambiwa Basi, Atalia Machozi Na Kuomba Msamaha.
Si Kwamba Atalia Kwa Sababu Ya Mapenzi Ya Dhati Aliyonayo Kwa Mwenzi Wake, Kwamba Inamuuma Kuachana Naye, Ila Kinachomtesa Ni Zile Hisia Za Kuachwa. Na Ingetokea Kuwa Yeye Ndiye Anayeamua Kuacha, Tafsiri Ingekuwa Kinyume Chake.
Macho Yangekuwa Makavu Na Ikiwezekana Angekwenda Kusimulia Kwa Marafiki: “Aah, John Nimempiga Chini Kanililia Huyo!” Anafurahi Dada Yetu Na Wenzake Watampongeza Kwa Kugongesheana Viganja!
Tatizo Kubwa Ambalo Linawagharimu Wengi Ni Kuwa Mapenzi Yanabebwa Kama Aina Ya Mchezo Wa Kuigiza. Watu Wanaingia Kwenye Uhusiano Kwa Kujaribu. Kuna Waliofunga Ndoa Si Kwa Kuchaguana, Isipokuwa Walidanganyana Kwa Hisia Za “Mapozeo” Mwisho Wa Siku Wakazoeana, Ikawa Ngumu Kuachana.
Wapo Wanaoingia Kwenye Ndoa Si Kwa Kuvutwa Na Nyoyo Zao, Ila Wanakabiliwa Na Fikra Za “Waoaji Wenyewe Hawapo, Acha Nimkubali Huyu Huyu!” Mapenzi Ni Nguzo Maalum Mno Kwa Maisha Ya Binadamu, Kwa Hiyo Ni Vema Yabebe Heshima Inayostahili.
Ogopa Sana Mtu Anayekuwa Na Wewe Kwa Sababu Haoni Chaguo Lake. Adhabu Yako Ni Kubwa Mbele Ya Safari Ingawa Unaweza Kujiona Upo Kwenye Bwawa La Asali Mwanzoni. Kiama Chako Ni Pale Atakapomuona Anayedhani Ndiye Sahihi Kwake. Utasilitiwa Upende Usipende!
Nimekuwa Nikisisitiza Hili Kuwa Ni Bora Kuacha Kumsogelea Kabisa Kuliko Kumdanganya Unampenda Wakati Unamcheza Shere. Ukatili Wako Ni Mkubwa Kwa Maana Yeye Anaweza Kudhani Amefika Na Akatuliza ‘Mizuka’ Yote, Hivyo Akapandikiza Matarajio Juu Yako.
Siku Atakapojua Haupo Naye Atajisikiaje? Unaweza Kuua Bila Kukusudia Kwa Sababu Binadamu Tumeumbwa Na Roho Tofauti. Utamuona Aliyekunywa Sumu Kwa Mapenzi Ni Mjinga Kwa Sababu Hayajakufika. Kuna Waliosema Wao Ni Ngangari Lakini Ukurasa Ulipofunguka Kwao, Waliona Dunia Chungu.
Mathalan, Mwanamke Anaweza Kuwa Havutiwi Na Mtu Aliyenaye Kwa Maana Moja Au Nyingine. Ilitokea Kuwa Naye Kama Ajali Tu! Kutokana Na Kutokuwa Na Hisia Naye, Hakuona Tatizo Kumsaliti Kwa Mwanaume Mwingine, Lakini Huwezi Kuamini Siku Akiambiwa Basi, Atalia Machozi Na Kuomba Msamaha.
Si Kwamba Atalia Kwa Sababu Ya Mapenzi Ya Dhati Aliyonayo Kwa Mwenzi Wake, Kwamba Inamuuma Kuachana Naye, Ila Kinachomtesa Ni Zile Hisia Za Kuachwa. Na Ingetokea Kuwa Yeye Ndiye Anayeamua Kuacha, Tafsiri Ingekuwa Kinyume Chake.
Macho Yangekuwa Makavu Na Ikiwezekana Angekwenda Kusimulia Kwa Marafiki: “Aah, John Nimempiga Chini Kanililia Huyo!” Anafurahi Dada Yetu Na Wenzake Watampongeza Kwa Kugongesheana Viganja!
Tatizo Kubwa Ambalo Linawagharimu Wengi Ni Kuwa Mapenzi Yanabebwa Kama Aina Ya Mchezo Wa Kuigiza. Watu Wanaingia Kwenye Uhusiano Kwa Kujaribu. Kuna Waliofunga Ndoa Si Kwa Kuchaguana, Isipokuwa Walidanganyana Kwa Hisia Za “Mapozeo” Mwisho Wa Siku Wakazoeana, Ikawa Ngumu Kuachana.
Wapo Wanaoingia Kwenye Ndoa Si Kwa Kuvutwa Na Nyoyo Zao, Ila Wanakabiliwa Na Fikra Za “Waoaji Wenyewe Hawapo, Acha Nimkubali Huyu Huyu!” Mapenzi Ni Nguzo Maalum Mno Kwa Maisha Ya Binadamu, Kwa Hiyo Ni Vema Yabebe Heshima Inayostahili.
Ogopa Sana Mtu Anayekuwa Na Wewe Kwa Sababu Haoni Chaguo Lake. Adhabu Yako Ni Kubwa Mbele Ya Safari Ingawa Unaweza Kujiona Upo Kwenye Bwawa La Asali Mwanzoni. Kiama Chako Ni Pale Atakapomuona Anayedhani Ndiye Sahihi Kwake. Utasilitiwa Upende Usipende!
Nimekuwa Nikisisitiza Hili Kuwa Ni Bora Kuacha Kumsogelea Kabisa Kuliko Kumdanganya Unampenda Wakati Unamcheza Shere. Ukatili Wako Ni Mkubwa Kwa Maana Yeye Anaweza Kudhani Amefika Na Akatuliza ‘Mizuka’ Yote, Hivyo Akapandikiza Matarajio Juu Yako.
Siku Atakapojua Haupo Naye Atajisikiaje? Unaweza Kuua Bila Kukusudia Kwa Sababu Binadamu Tumeumbwa Na Roho Tofauti. Utamuona Aliyekunywa Sumu Kwa Mapenzi Ni Mjinga Kwa Sababu Hayajakufika. Kuna Waliosema Wao Ni Ngangari Lakini Ukurasa Ulipofunguka Kwao, Waliona Dunia Chungu.
Subscribe to:
Comments (Atom)






