Baada ya golikipa wa Yanga, Metacha Mnata kufungwa goli la faulo lililozua gumzo kubwa kutoka kwa Allan Okello dhidi ya Yanga siku ya Ijumaa (22/05/2026), mjadala mkubwa umeendelea kuhusu namna ya upangaji wa ukuta kwa makipa wakati wa faulo.
- Wadau wengi wa soka walimlaumu Metacha kwa uzembe huo, hali iliyosababisha hata benchi la ufundi kumtoa nje mara baada ya tukio hilo.
Miongoni mwa waliotoa maoni yao ni Jemedari Said Kazumari aliyesema:






.jpeg)
.webp)

