Utaratibu wa ukabidhishaji wa tuzo hizi utaanza
kutangazwa rasmi katika wiki ya kwanza ya mwezi wa nne. Washindi na washiriki wote watapata fursa ya kutambulika na kuthaminiwa kwa michango yao katika sekta ya burudani.BURUDANI MBEYA inajivunia kuwa jukwaa
muhimu linalounganisha wasanii na mashabiki wao kupitia blog, YouTube channel,
na Instagram page.
Shukrani kwa wote walioshiriki katika kura na kuonyesha mapenzi yao kwa wasanii wetu. Tunaamini tuzo hizi zitaongeza kasi ya ukuaji wa burudani na kutoa nafasi kwa vipaji vipya kuonekana.
Tuzo za
Burudani Mbeya – Kuanza kwa mafanikio makubwa kwa wasanii wa Nyanda za juu
kusini na Tanzania kwa ujumla!
Kwa maelezo zaidi:-
Email:
burudanimbeya@gmail.com
Au
tembelea:-
Web:www.burudanimbeya.blogspot.com
YouTube:
Burudani Mbeya
0 comments:
Post a Comment