Thursday, 20 March 2025

TAARIFA: Nafasi ya Kujitolea ya Msomaji wa Habari kwa Burudani Mbeya Media

Burudani Mbeya Media inatangaza nafasi ya msomaji wa habari wa kujitolea. Tunatafuta mtu mwenye uwezo wa kusimulia kwa ufasaha na ubunifu wa hali ya juu ili kusoma na kusimulia habari na taarifa zilizochapishwa kwenye blog yetu ya Burudani Mbeya.

Sifa za Mwombaji:

✔ Uwezo wa kusoma na kuelezea habari kwa mvuto na weledi.
✔ Uzoefu wa awali wa kusoma habari ni faida, lakini si lazima.
✔ Ubunifu na ustadi wa kutumia sauti kwa namna inayovutia wasikilizaji.
✔ Uwezo wa kufanya kazi kwa kujituma na kwa ushirikiano.

Ikiwa una shauku ya kushiriki katika nafasi hii, tafadhali wasiliana nasi kwa kutuma ujumbe kupitia Instagram DM kwa @burudanimbeya au Email: burudanimbeya@gmail.com

Burudani Mbeya – PROUDLY MBEYA 

0 comments:

Post a Comment